Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Saturday, November 26, 2011

KWAHERI MWANDISHI MWENZETU MOSES KAWONA

MAREHEMU MOSSES KAWONA ENZI  ZA UHAI WAKE
Mwenyekiti wa wanahabari mkoa wa Mbeya Christopher Nyenyembe akitoa 
salamu za rambirambi kwa niaba ya wanahabari wa Mbeya katika mazishi ya
 mwanahabari mwenzao MOSES Kawona

Baadhi ya wanahabari Mbeya wakishiriki katika kuusindikiza mwili wa marehemu Moses Kawona katika makazi yake ya milele


picha na Rshidi Mkwinda

No comments: