Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Tuesday, October 25, 2011

MKUU WA MKOA WA MBEYA ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE SONGWE MBEYA

Mkuu wa mkoa Mbeya Abasi Kandoro akiongea na wakandarasi  wa uwanja wa ndege songwe Mbeya alipotembelea kuona maendeleo ya kiwanja hicho
Meneja wa kiwanja cha ndege mkoa wa mbeya  Ezekia Mwalutende akisoma taarifa ya ya ujenzi wa kiwanja cha  ndege songwe Mbeya
Mkuu wa mkoa mbeya Abasi Kandoro akiwasisitiza wakandarasi wa ujenzi wa uwanja wa ndege songwe kukamilisha ujenzi  uwanja huo kwa muda uliopngwa
Mkuu wa mkoa mbeya Abasi Kandoro akimsikiliza Mhandisi wa kampuni ya kundan singh 
Mkuu wa mkoa Mbeya Basi Kandoro akikagua uwanja wa ndege songwe
Hili ni jengo la abiria likikamilika linauwezo wa kuhudumia abiria 300 kwa saa

Hii ni barabara ya kutua na kurukia ndege nyenye urefu wa kilometa 3.6 na upana wa mita 45 kiwanja kitakuwa barabara ya kiungo moja na eneo la maegesho lenye uwezo wa kuegesha ndege nne aina ya boing 737 kwa pamoja

3 comments:

Amby's Peter said...

kwa kweli tunamshukuru Mungu na wale wote waliochangia wazo la ujenzi wa uwanja huo mbeya, kwani ukishakamilika tutakuwa na uwezo wa kuhudhuria matukio mbeya na kurudi kuchapa kakzi Dar, Mungu ibariki Mbeya Mungu ibariki Tanzania

Anonymous said...

Umefanya vizuri sana kutuhabarisha juu ya uwanja huu, tunausubiri kwa hamu kubwa manake safari ya barabara kwenda/kutoka Dar siyo tu kwamba inakera bali pia ni ugonjwa!

Magese said...

hizi hadithi sijui zitagotea wapi na lini? ingekuwa ni kaskazini... mbona kitambo sana ungekuwa pouwa!! Labda Kanoro atakuwa masihi wa Mby city maanake hakuna cha Mwandosya, Mwakyusa, Mwakyembe, Mboma, wala Pinda aliyefanya cha maana!! Mungu ibariki Mby!