Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, September 2, 2011

MKUTANO WA MARAFIKI WA ELIMU MKOANI DODOMA




Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr
James Nsekela akiingia katika ukumbi wa Royal Village Mjini Dodoma
tayari kwa kufungua mkutano wa mwaka wa marafiki wa elimu.Pamoja nae
Kulia ni Mkurugenzi wa HakiElimu Elizabeth Missokia,Rafiki wa elimu Bi
Philipina Labia, Rev Samiaeli Mteri,Meneja wa Idara ya Ushiriki wa
Wananchi Pius Makomelelo na meneja wa idara ya upatikanaji taarifa Bwana
Robert Mihayo

Picha ya pamoja marafiki wa Elimu,
Mkurugenzi wa HakiElimu Elizabeth Missokia na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr
James Nsekela



Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr James
Nsekela akiingia katika ukumbi wa Royal Village Mjini Dodoma tayari kwa
kufungua mkutano wa mwaka wa marafiki wa elimu.


Picha Zote Na Haki Elimu Blog

No comments: