| Naibu waziri wa kilimo chakula na ushirika akihutubia wananchi waliohudhuria sherehe hizo za ufunguzi wa nane nane jijini mbeya |
| Viongozi wengine wakimsikiliza kwa makini mgeni rasmi |
| Wanafunzi wa shule mbali mbali nao walikuwepo kwenye ufunguzi huo |
| EXIM BANK nao hawakuwa mbali na wakulima kuwapa tia huduma ya kujiunga na banki hiyo uwajani hapo |
| Moja ya watumishi wa benki kuu ya Tanzania akitoa maelekezo kwa mkulima alietembelea banda la BOT |
| wauzaji wa vifaa vya computer wakiwa tayari kuwahudumia wateja wao |
| TTCL nao hawapo nyuma katika kutoa huduma uwanjani hapo |
| kweli furahia nane nane |
No comments:
Post a Comment