Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, May 20, 2011

MATUKIO YA JANA USIKU NA LEO YA KIFO CHA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUNGWE JOHN MWANKENJA

Enzi za uhai Mwenyekiti wa halmashauri ya  Wilaya Rungwe Marehemu John Mwankenja akiongoza kikao cha mwisho cha kupitisha bajeti ya 2010 / 2011
Mweshimiwa Mbunge Hilda Ngoye akiwa na huzuni kubwa kwa kuondokewa na jirani yake
Nyumba ya marehemu
Mkuu wa wilaya Rungwe Jakson Msome akiwa na Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya rungwe Mh Mwakipunga  wakiwa sehemu y tukio jana usiku
Mwili wa marehemu ukihfadhiwa katika chumba cha maiti hospitali ya makandana jana usiku

SEHEMU YA NDANI YA GARI ALIMOPIGWA RISASI MH. JOHN MWANKENJA

No comments: