Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, March 25, 2011

BASATA YAHIMIZA UJENZI WA NYUMBA ZA SANAA WILAYANI

Muhadhili kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), Dkt.C.Lwamayanga (kushoto) akiwapa elimu wadau wa Sanaa juu ya sanaa ya usanifu majengo kwenye Ukumbi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii. Wengine kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idaya ya Mfuko na Uwezeshaji BASATA,Ruyembe C.Mulimba,Mkurugenzi wa Utamaduni anayeshughulikia Sanaa,Bi.Angela Ngowi na Katibu Mtendaji wa BASATA, Ghonche Materego.
Kwa habari ya kina Bofya hapa chini

No comments: