Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Thursday, September 4, 2014

WENGI WAMZIKA MWANAHARAKATI MAREHEMU LOVENESS T. NDIBALEMA KATIKA MAKABURI YA SABA ABA MBEYA

Marehemu Loveness Ndibalema Enzi za uhai wake
 Mwili wa Marehemu ukiwa Unaingia katika makaburi ya Saba saba Mbeya.
 Baadhi ya wachezaji wa Tanzania Prisons wakiwa wanapeleka mwili wa Marehemu katika Makaburi ya Sabasaba Mbeya
 Mtumishi wa Mungu akiwa anaomba kabla ya kuanza Ibada Fupi ya Mazishi
 Mtumishi wa Mungu ambaye pia ndiye aliyekuwa akiongoza ibada ya mazishi akisoma neno na kutoa mahubiri mafupi
 Watu mbalimbali waliofika kwa ajili ya kumsindikiza Marehemu Loveness Ndibalema wakati wa mazishi
Wa kwanza Mbele kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro akiwa na Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi aliye nyuma ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya wakiwa katika Mazishi hayo.
 Mwili wa Marehemu ukiwa unaingizwa katika Nyumba yake ya milele
 Mtumishi wa Mungu aliyekuwa anaongoza Mazishi hayo akiweka Mchanga katika kaburi ishara ya kumzika Marehemu 
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro akiweka Mchanga katika kaburi la Marehemu
 Mume wa Marehemu Loveness Ndibalema akiweka Shada katika kaburi la Mke wake 
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmad Msangi akiweka Shada la Maua katika kaburi la Marehemu
 Mmoja wa wanafamilia akisoma wasifu wa Marehemu
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro akitoa nasaha wakati wa Mazishi ya Marehemu Loveness Ndibalema.
 Msemaji wa Familia akitoa neno la Shukurani wakati wa mazishi ya Marehemu Loveness Ndibalema.

Na Mbeya yetu Blog

No comments: