Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Tuesday, August 12, 2014

TANGAZO! TANGAZO : JE UNATAFUTA NYUMBA YA KUPANGA, CHUMBA CHA BIASHARA, KUNUNUA, GARI YA KUNUNUA AU KUKODI, MSICHANA WA KAZI, MASHAMBA NA MENGINEYO ? JIBU HILI HAPA.

ZAMA REAL ESTATES, JOBS, & ADVERTISEMENTS AGENCY
Tupigie kupitia simu namba +255754060350, +255686957255.
BlogSpot:matangazombeya.blogspot.com,Email:matangazombeya@yahoo.com/Face:Book:matangazombeya@facebook.com. Ofisi zetu zipo Mama John,Mbeya.
JE UNATAFUTA NYUMBA YA KUPANGA, CHUMBA CHA BIASHARA, KUNUNUA, GARI YA KUNUNUA AU KUKODI, MSICHANA WA KAZI? KAMA NDIO WASILIANA NA ZAMA REAL ESTATES, JOBS & ADVERTISEMENTS AGENCY. WATAKUPA MSAADA WA HARAKA ZAIDI!!!!!!! 
 Magari:-Sale & Rent Cars
Magari yaliyotumika yanauzwa na kukodishwa. Bei zake ni maelewano na wahusika wenyewe.
Magari yaliyopo mikononi: Harrier, Prado, Hiace, Land crusa, Costa, Corola, Mark 11, Canter, pikipiki, Bajaji nk. Pia tuna magari yanakodishwa kwa ajili ya safari za kikazi na kifamilia kwa bei nafuu kabisa!!
 Nyumba za Kupanga:- House Rent
Nyumba hizi zipo maeneo mbalimbali kama vile Sai, Ilomba, VETA, Forest Mpya, Soweto, Block T, Jakaranda, Uhindini, Uzunguni nk.
Gharama za nyumba zinatofautiana kutokana na mahali zilipo na ukubwa wa nyumba  hizo. kuna baadhi ya nyumba zina kila kitu ndani (full furnished) . Endapo una nyumba ya kupangisha , tafadhali usisite kuwasiliana nasi ili tukusaidie kukutafutia wapangaji.

Nyumba za kuuzwa:- House for Sale
Tuna nyumba zinauzwa maeneo mbalimbali kama vile Sai, Ilomba,  Forest  New and Old, VETA, Soweto, Block T, Jakaranda, Uhindini, Uzunguni , Mama John , nyumba za barabarani maalum kwa ajili ya biashara, kama vile hotel, maduka, Bank, Guest House,  sheli, nk. Bei hizi zinatofautiana kulingana na ubora wa nyumba, Ukubwa, Thamani, Eneo nk. Pia kuna nyumba zilizopo kwenye kona. (Nyumba zilizojengwa kwenye kona zina matumizi mengi mazuri kibiashara). Endapo una nyumba ya kuuza, tafadhali usisite kuwasiliana nasi.

DO YOU NEED TO BUY OR RENT A HOUSE, SHOP, OFFICE, BUY & RENT A CAR, PLEASE DO NOT HESTATE TO CONTACT ZAMA REAL ESTATES, JOBS & ADVERTISEMENTS AGENCY

Ni mawakala/Madalali wenye uwezo wa kukutafutia nyumba za kupanga, nyumba za kununua, Mashamba, Viwanja, Yadi, Ofisi, Magari nk, Hotel na Guest houses. kwa bei poa kabisa.


Viwanja/Plots
Vinanja vinauzwa maeneo mbalimbali kama vile VETA, Ilomba, Pipeline, Forest Mpya, Iwambi, Ituha , Block T, Mkuranga,  nk. Kuna baadhi ya viwanja vimepimwa na vingine havijapimwa. Bei zake zinategemeana na eneo kilipo na ukubwa wa kiwanja. Bei zake zinaanzia Tshs. 4M  na kuendela. Viwanja hivi baadhi vipo barabara kuu ya TANZAM. Endapo una kiwanja unauza tafadhali usisite kuwasiliana nasi.

Mashamba/Land
Mashamba yapo maeneo ya Mbozi, Tunduma, Tukuyu, Mpemba, Mkuranga, nk. Endapo una shamba usisite kuwasiliana nasi ili tukuuzie.

Ofisi:-Offices
Majengo   yanayofaa kwa  ajili ya  matumizi ya Ofisi yanapangishwa maeneo mbalimbali jijini Mbeya. Gharama zinatofautiana kutokana na eneo  na ukubwa wa ofisi .

Yadi/Viwanda, Ghala kubwa
Kuna majengo  na viwanja vikubwa vinayyofaa kwa ujenzi wa Yadi au viwanda vyenye squre meter zaidi ya 3,000.


Guest houses na Hotels
Guest houses na Hotel zinauzwa maeneo mbalimbali jijini Mbeya. Endapo unahitaji usisite kuwasiliana nasi.

Sheli:-
Vituo vya mafuta vinauzwa maeneo mbalimbali jijini Mbeya

Matangazo ya Biashara
Tunajishughulisha  na matangazo ya Biashara kupitia kwenye Blog yetu. Matangazo ya aina yoyote kwa kutuma kwenye email address yetu, au anuani.

Ajira
Tuna warembo na vijana wenye umri chini ya miaka 25 wenye uwezo wa kutangaza biashara yako. Au kwa kuajiriwa kwenye mahotel, clubs, Pub, Bar , watumishi wa nyumbani nk. Wengi wa vijana hawa wamesoma hadi kidato cha nne, wanazungumza lugha ya Kiingereza kwa ufasaha! Hadi sasa tumefanikiwa kuwatafutia wasichana na wavulana kazi mbalimbali.

Ushauri 
Tunatoa ushauri kwa waliotingwa na msongo wa mawazo(hii ni siri),

Tiba Asili.
Tunatibu kupitia Tiba Asilia zinazotumia vyakula na Mimea, magonjwa ya Tumbo, Pressure, Kisukari, Malaria sugu, Typhoid, magonjwa ya ngozi, Fangasi, pia tuna hair products zenye uwezo wa kurefusha na kuboresha nywele zako kwa muda mfupi sana, kuondoa mba nk.

Marafiki /Wachumba club
Tunawaunganisha wasichana na wavulana wanaotafuta wachumba au marafiki kupitia kwenye blogspot yetu
Kwa bei nafuu sana
Unaweza pia kututembelee kwenye blogspot yetu ya matangazombeya.blogspot.com
Wote mnakaribishwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Tupigie kupitia simu namba +255754060350, +255686957255.  
BlogSpot:matangazombeya.blogspot.com,Email:matangazombeya@yahoo.com/Face:Book:matangazombeya@facebook.com. Ofisi zetu zipo Mama John


1 comment:

Anonymous said...

Kweli mpo kikazi zaidi. Hadi kutoa ushauri kwa wenye msongo wa mawazo! NB: Rekebisha hapo ulipo andika sheli kwenye tangazo maana hilo ni jina tu la kampuni kama ilivyo Oil com, Bp, Esso nk. Ilifaa utumie neno la jumla kwamba eneo linafaa kuanzisha kituo cha kuuzia mafuta.