Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Sunday, August 3, 2014

MKUU WA MKOA WA IRINGA MH. DR. CHRISTINE ISHENGOMA (MB) ATEMBELEA MABANDA MBALIMBALI YA NANE NANE LEO

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma akiwa anawasili katika Viwanja vya Nane nane Mkoani Mbeya Leo, Hapa anasaini kitabu cha wageni.
 Meneja uwanja wa Nane nane uliopo Mkoa wa Mbeya Bwana Kasilati akitoa maelezo mafupi pamoja na kusoma Ratiba nzima ya Kuzunguka katika Mabanda ya Nane nane kwa  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma .
  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma  akiuliza Jambo katika banda la Kilimo 
 Mmoja wa wataalam wa Kilimo akifafanua jambo kwa  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma
  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma  akiendelea kupata maelezo katika mabanda
  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma  akipokea zawadi katika Banda la wajasiliamali wanaotengeneza Bidhaa Mbalimbali
  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma  akipata maelezo yakina katika moja ya mabanda ya kilimo katika eneo la Ufugaji 
  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma akiongea katika Idara ya Maji hapa alikiwa anaeleza juu ya mita mbalimbali zamaji zikiwemo Mbovu, ambazo watu wanaiba maji na ambazo ni Mita Bora
 Mmoja wa Watumishi wa idara ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya akitoa maelezo kwa  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma ambaye hayupo pichani Jinsi wanavyo  Sambaza Maji kwa wananchi Mbeya.



 Haya ni Mazao yanayozalishwa na wakulima waliofundishwa kilimo Bora na TAHA- Tanzania Horticultural Association 
  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma  akipata maelezo ya kina kutoka kwa afisa Masoko na Taarifa kutoka TAHA Bi. Cyrila Mlay 
  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma  akiwa anaonja tikiti maji katika Banda la TAHA
  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma  akipata maelezo kutoka kwa Mkufunzi wa Chuokikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya
  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma  akipata maelezo kutoka kwa Dr. Ben Kibese Meneeja wa Kitengo cha Uchumi Benki Kuu Mbeya
  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma  akipata maelekezo kutoka kwa Asajile Mwakisisile Mhandisi kutoka TCRA.

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma  akiwa katika Banda la Ize Money na  Sweet Fm

IKIWA UNAHITAJI KUONEKANA KATIKA MBEYA YETU MSIMU WA NANE NANE WASILIANA NASI KWA NAMBA 0654221465

Picha zote na Mbeya yetu blog  

No comments: