Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Monday, September 16, 2013

BODI MPYA YA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA MBEYA YAZINDULIWA MBEYA

 Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro akizindua bodi mpya ya Mamlaka ya maji Jiji la Mbeya
Mwenyekiti mpya wa bodi ya maji na usafi wa mazingira Jaji Atuganile Ngwala akishukuru kwa kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa bodi hiyo
Mkurugenzi wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Simon Shauri, akitoa taarifa ya Mamlaha hiyo mbele ya mgeni rasmi, Mkuu wa mkoa wa Mbeya A
 Mmoja wa wajumbe wa bodi ya maji iliyomaliza muda wake Aloyce Mwitagila akitoa shukrani kwa niaba ya mwenyekiti wa zamani Mwakatundu

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akimkabidhi sanduku lenye vitendea kazi Mwenyekiti wa bodi hiyo Jaji Atuganile Ngwala
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akimkabidhi sanduku lenye vitendea kazi makamu mwenyekiti wa bodi hiyo Msambichaka
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akimkabidhi sanduku lenye vitendea kazi mmoja wa wajumbe wa bodi mpya ya maji Katibu tawala wa mkoa wa Mbeya Mariam Mtunguja.
Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro wa pili kutoka kushoto, akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi mpya ya Mamlaka ya Maji na usafi wa mazingira Jiji la Mbeya.


Na Mbeya yetu


No comments: