Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, July 17, 2013

UJENZI WA BARABARA YA SAE KWENDA ITUHA JIJINI MBEYA WAKAMILIKA

 Hapa ndipo barabara ilipo ishia eneo la Ituha
Hiki ni kituo cha Mabasi kilichopo Ituha
 Haya ni maeneo ya Ituha
 Hiki ni kituo kidogo cha Bodaboda pamoja na Bajaji eneo la Ituha
 Baadhi ya Maduka yakiwa yameanza kujengwa pembezoni mwa barabara
 Hii moja ya kona ambayo ni hatari  , ni ya mwisho kuelekea Ituha
 Kituo cha Mabasi cha Njia Panda Ituha
Huu ni upande wa barabara wa Ituha
 Eneo hili ndilo mpaka kati ya Sae na Ituha
 Hili ni eneo ambalo liliwatesa sana wakazi wanaoishi maeneo haya kwa kuwa barabara ilikuwa mbaya sana na kusababisha magari mengi kukwama na hata kulala kama kumekosekana msada. Lakini kwa sasa eneo hilo lipo safi 
Hiki ni kituo cha Mabasi cha Sae

 Hii ni moja ya kona ya hatari ambayo ipo muundo wa S ambayo imesababisha ajali kwa baadhi ya Bodaboda ambazo zinakwenda mwendo wa kasi 
Hii ndio njia ya kuingilia kuelekea Ituha

PICHA ZOTE  NA MBEYA YETU

2 comments:

Anonymous said...

Nkamugwangu,unatufanya wenzio tutoe machozi unapotuonyesha picha za Home kabisaa SAE. Mwe mma ulimundu fiijo nkamu gwangu. Kyala akutulege fiijo, hasa unapotoa habari za wasiojiweza kama ulivyotoa habari ya mtoto aliyewekwa ndani kwa miaka miwili bila msaada. Mungu akubariki sana. Tutakuja, tutaongea zaidi.Kazi njema.

Anonymous said...

nafurahi kulijua jiji langu la mbeya .mnafanya vizuri ,big up 2u