Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Sunday, June 23, 2013

MAADHIMISHO YA SIKU YA OLIMPIKI DUNIANI KITAIFA YAFANA MBEYA











Mzee Adrew Mwadende 65  moja ya washiri wazee katika maadhimisho hayo ya siku ya olimpiki Duniani

Richard Makombe mshindi wa kwanza wa mbio za kilometa tano akielezea siri ya ushindi wake kuwa ni mazoezi na anapenda sana mchezo wa kukimbia

Mshidi wa pili katika mashindano hayo ya kilometa tano Francis Makombe huyu ni acha wa Richard Makombe yaani mapacha hawa wamechukua ushindi wa kwanza na wa pili katika mbio hizo na walikuwa wanakimbia peku bila kuwa na viatu katika miguu yao

Jackson Isambi mshindi wa tatu akiwa na mapacha walioshinda nafasi ya kwanza na yapili katika mashindano ya kilometa tano ya siku ya maadhimisho ya olimpiki Duniani






Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi akimkaribisha mgeni rasmi kutoa zawadi na vyeti kwa walioshiriki mbio za zaidi ya kilometa tano katika maadhimisho ya siku ya olimpiki Duniani kitaifa yamefanyika mkoani Mbeya

Mgeni rasmi katibu tawala msaidizi mkoa wa Mbeya
 Dr Philipo Mwaisobwa ambae alimwakilisha mkuu wa mkoa Mbeya akimpongeza  na kumpa zawadi mtoto  Lestuta Gamba kwa kushiriki katika maadhimisho ya siku ya olimpiki duniani

Mgeni rasmi katibu tawala msaidizi mkoa wa Mbeya
 Dr Philipo Mwaisobwa  akimpongeza mtoto Michael Obel na kumpatia zawadi pamoja na cheti cha kushiriki maadhimisho ya siku ya olimpiki Duniani


Mgeni rasmi katibu tawala msaidizi mkoa wa Mbeya
 Dr Philipo Mwaisobwa  akimpongeza Adrew Mwadende 65 kwakuwa mzee pekee kushiriki katika mbio za maadhimisho ya siku ya olimpiki duniani



Wenda high school iliopo mbalizi nao walishiriki katika maadhimisho hayo

Picha na Mbeya yetu

No comments: