Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Sunday, March 24, 2013

KILELE CHA WIKI YA MAJI CHAFANA MBEYA


Kilele cha wiki ya maji mkoa wa mbeya kiliazimishwa kwa maadamano toka katika ofisi za mamlaka ya maji na kuelekea katika chanzo cha maji cha mto sisimba jijini Mbeya
Mkungurugenz wa Maji safi na taka Jijini Mbeya Simon Shauri akiongoza maandamano hayo ya kilele cha wiki ya maji



Mkungurugenz wa Maji safi na taka Jijini Mbeya Simon Shauri akielezea wadau wa maji kuwa chanzo hicho cha maji cha  sisimba kilichengwa mwaka 1945

Baadhi ya wadau wa maji na wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na taka wakishangaa nyoka katika chanzo hicho cha sisimba 


Pia nyoka nae akiwashangaa wadau hao wa maji kuwa wamemuingilia katika makazi yake 
Hiki ndicho chanzo ya maji cha sisimba Mbeya

Mkungurugenz wa Maji safi na taka Jijini Mbeya Simon Shauri akizidi kuwaelekeza wadau mbali mbali wa maji jinsi maji yanavyohifandiwa kwenye matanki na kutiwa dawa
Baada ya kutoka katika chanzo cha maji kuliendelea na kongamano fupi kuhusi maji ambapo wadau mbali mbali walichangia katika kongamano hilo
Ngoma ya kingoni ikitumbuiza katika kilele cha wiki ya maji katika ukumbi wa Parish Mbeya


Mkungurugenz wa Maji safi na taka Jijini Mbeya Simon Shauri akimkaribisha mgeni rasmi aongee na wadau wa maji katika kilele cha wiki ya maji 

Mgeni rasmi Meya wa jiji la Mbeya Atanath Kapunga akiwahutubia wadau mbali mbali wa maji katika kilele cha wiki ya maji



No comments: