Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Saturday, February 2, 2013

WITHOUT MOTHER ORGANIZATION NA BEZ MAMY KUSAIDIA UKARABATI NA UJENZI WA MADARASA YA SHULE ZA MSINGI WILAYA YA MBALARI, CHUNYA NA RUNGWE

Madarasa ya shule ya msingi kisa wilayani Rungwe yaliyokarabatiwa kwa ufadhili wa watu wa Jamhuri ya Czech kupitia shirika la Without Mother (Tanzania) kwa kushirikiana na Bez Mamy (Czech Republic) 
Mratibu wa miradi ya Bez Mamy Africa na Mwenyekiti wa Without Mother Organization kulia Bw Chris Zacharia akiwa na Vituko Issa  Mkuu wa shule ya msingi Simike Wilaya ya Mbarali wakijadili mpango wa kumalizia jingo la darasa la awali ambalo wananchi walishindwa kulimaliza
Without Mother organization|Bez mamy wakiwa na Kamati ya maendeleo ya shule ya Msingi Ilenge wilaya ya Rungwe baada ya mjadala wa kuifadhili shule hiyo kuboresha majengo na kuiwekea umeme kwa ajili ya kuanzisha mafunzo ya computer shuleni hapo
Mratibu wa Miradi ya Bez Mamy Africa na Mwenyekiti wa Shirika la Without Mother Bw Chris Zacharia akitambulishwa kwa wazazi na wanafunzi wa Shule ya Msingi Ilenge akiwa na Mratibu wa miradi ya Shule wa Bez Mamy Eliška Nováková kushoto na mratibu wa Elimu kata ya Kimo wilaya ya Rungwe
 Bi Maulicia Mkusa kulia

Darasa la chekechea la shule ya msingi Galaula linalojengwa kwa ufadhili wa watu wa Jamhuri ya Czech kupitia shirika la Without Mother (Tanzania) kwa kushirikiana na Bez Mamy (Czech Republic)

Picha chini Mratibu wa Miradi za Shule wa Shirika la Bez Mamy Eliška Nováková akikagua majengo ya nyumba za waalimu katika shule ya Msingi Mahango wilaya ya Mbarali. Majengo hayo yaliyokuwa yanajengwa kwa nguvu za wananchi wamesimama baada ya wananchi kukosa uwezo wa kuyaendeleza

No comments: