Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, February 13, 2013

MBEYA CITY YAICHABANGA POLISI IRINGA 2-0





Waandishi wa habari wa mkoa wa Mbeya wakiwa makini kuangalia mechi hiyo


mashabiki wa timu ya Mbeya city wakishangilia ushindi wa mabao mawili dhidi ya polisi Iringa

Mkuu wa Wilaya Rungwe ndugu Crispin Meela. akiongea na waandishi wa habari mara baada ya mpira kwisha

Timu ya Mbeya City inayocheza Ligi daraja la kwanza Tanzania bara, imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kupanda daraja kwa kushiriki ligi kuu msimu ujao baada ya kuichapa timu ya Polisi Iringa mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.
Katika msimamo wa ligi daraja la Kwanza timu ya Mbeya City ina Pointi 22 na ndiyo inayoongoza kundi A ikifuatiwa na Polisi Iringa iliyo na Pointi 14, hivyo Mbeya City ikishinda mechi mbili kati ya nne zilizobaki itashiriki ligi kuu msimu ujao

Na mbeya yetu.

No comments: