Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, September 12, 2012

Liveee!! Waandishi wa habari mkoani Mbeya waanza maandamano kutokea kuelekea Mafiati kuelekea BP TRA Mbeya.. PART 1

 Sasa Live waandishi wa habari wakiwa wanajipanga kuendelea na Maandamano sasa kushoto wa kwanza ni Mwandishi mkuu wa Mbeya yetu ndugu Joseph Mwaisango.
 Safari sasa ndio inaanza hapa ya Maandamano 
 Baadhi ya waandishi wakiwa wanaendelea kutumiana ujumbe wa kufika pamoja kwa ajili ya maandamano 
 Sasa wanaendelea na maandamano 

 Akina dada waandishi nao hawapo nyuma wapo bega kwa bega katika maandamano 

 Sasa safari inaendelea 
 Kama inavyo onekana hapa waandishi wanachukua matukio yao ya kuweka kwa taarifa baadae, huku Mbeya yetu tukilileta Live 

Sasa wanaendelea na maandamano

Endelea kufuatilia nini kinaendelea Tone Media tupo live moja kwa moja

PICHA ZOTE NA MBEYA YETU BLOG

No comments: