Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Tuesday, September 25, 2012

Just in: Lori la mizigo lagonga daladala, Lahama Njia na Kupinduka

Hii imetokea Mbalizi Mbeya muda mchache ulio pita baada ya Lori la mizigo kugonga Hiace, kupotea njia na kuingia upande wa pili na kupinduka.
Lori hilo ambalo lilizidiwa spidi, Limepinduka na kujeruhi baadhi ya watu pamoja na abiria walio kuwepo katika basi hilo

PICHA NA MBEYA YETU BLOG

No comments: