Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Tuesday, May 1, 2012

WACHEZAJI WA VISHALE (DARTS) MKOA WA MBEYA WASHEREHEKEA USHINDI NA KUKABIDHI VIKOMBE WALIVYOSHINDA MWANZA

Afisa utamaduni wa mkoa Mbeya George Jackson akikabidhiwa kombe toka kwa mshindi wa vishale Anna Mwakabonga katika sherehe fupi iliyofanyika katika ukumbi wa Apple line jijini Mbeya
Wachezaji wa vishale (DARTS) Mkoa wa Mbeya wakishangilia ushindi walioupata jijini Mwanza hivi karibuni
Wadhamini wa mchezo wa vishale kampuni ya TBL wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi na mmoja wawacheza vishale
.
Mwenyekiti wa vishale wa timu ya Apple LineWeston Asisya  akimkaribisha mgeni rasmi
Mgeni rasmi afisa utamaduni wa mkoa akiongea na waalikwa pamoja na wachezaji waliohhiyo

No comments: