Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Tuesday, April 24, 2012

MHESHIMIWA LOWASSA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MKOANI MBEYA.

Waziri Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Monduri Edward Ngoyai Lowassa, akizungumza na Waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa High Class uliopo Mji mdogo wa Tunduma, Wilaya ya Mpya ya Momba mkoani Mbeya, wakati wa Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa la Kisasa la EAGT, ambapo alitoa jumla ya shilingi milioni 10 taslimu na kuahidi kuwapeleka waimbaji watatu nchi ya Israel kwa gharama zake.

No comments: