Ofisi ya TRA mkoa wa Mbeya uzio wake ukiwa umepambwa na mataulo ya wamachinga hao huku mamlaka husika zikiwatizama tu wamachinga hao bila ya kuwachukulia hatua yeyote |
Nani hatua chache sana kufika katika ofisi kuu za halmashauri ya jiji la mbeya na ni jia kuu ya kupita viongozi mbalimbali wa chama na serikali katika barabara hii je haya ni mapambo? |
Ofisi za TRA mkoa wa Mbeya zikiwa zimezungukwa na badhaa mbalimbali za wamachinga hao |
1 comment:
Hivi ngoja nihoji nyie mbeya yetu mmetumwa au?sasa kwa kupanga vitu vyao mbele ya benki au mbele ya jengo inaathiri nini? na kiuchumi ni kawaida kwamba kukiwa na taasisi kubwa ya kiuchumi basi inavutia taasisi zinginezo ndo kanuni za uchumi ndo uchumi unavyofanya kazi.......na haya mambo ya kuwafukuza watu maeneo yao ya biashara yameletwa na watalii wa magharibi na watu paranoid ambao wanadai kwamba miji isipokuwa na mpagilio basi inasababisha hatari na ugaidi sasa na nyie mbeya yetu mnaongea kitu hicho hicho kisicho na manufaa kwenu wala kwa wana mbeya
Post a Comment