Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, February 22, 2012

HII SASA NI HATARI JE MAMLAKA HUSIKA ZIPO JIJINI MBEYA?

Mafundi wakikarabati jengo moja ya mitaa ya jijini mbeya huku wakiwa hawana hata kifaa kimoja cha kujikinga na ajali wawapo kazini

Stuli ndiyo ya kusimamia ghorofani hapo hana hata wasiwasi wakuanguka toka juu


Fundi mwenzake kashikilia ngazi isiteleze wote wakiwa ghorofa ya kwanza

No comments: