Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Thursday, January 19, 2012

AJALI BARABARA YA MBOZI MBEYA MCHANA HUU

Dereva wa Gari inayosafirishwa kutoka bandari kuelekea nchini Zambia Aden Mwampyate akitolewa ndani ya gari baada ya kugongana na gari aina ya Fuso katika maeneo ya Senjele wilayani Mbozi mchana huu.








1 comment:

G.Mwasambili said...

jamani...Mungu awasaidie wapone!