Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Thursday, December 29, 2011

UFUNDI STADI:- BINTI MDOGO AJIHUSISHA NA UTENGEZAJI WA PIKIPIKI GEREJINI.

Binti huyo pichani Happy Pius (9) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Muungano ni mtoto mwenye kipaji cha pekee na kuwa kivutio kikubwa kwa wakazi wa Jiji la Mbeya kwa umahiri anaounesha kwa kutengeneza Pikipiki . Pichani Binti huyo akirekebisha moja ya Pikipiki kubwa aina ya Toyo Cruiser inayomilikiwa na kampuni ya vinywaji ya Cocacola iliyoletwa katika Gereji iliyopo eneo la Srereo Jijini Mbeya kama alivyokutwa na mpigapicha wetu jana.(Picha na Ezekiel Kamanga)
Binti huyo pichani Happy Pius (9) akirekebisha moja ya Pikipiki aina ya Honda 250 iliyoletwa katika Gereji iliyopo eneo la Srereo Jijini Mbeya kama alivyokutwa na mpigapicha wetu jana.(Picha na Ezekiel Kamanga)

2 comments:

Anonymous said...

Kijana hongera sana lakini hiyo pikipiki inayoitwa Toyo Cruiser ipo kweli?

Anonymous said...

huyu dogo noma, ila asome kwanza na ktk elimu ya juu asomee ufundi