wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stellah Manyanya (kulia), akimkabidhi mwenge
wa uhuru Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro,baada ya mwenge huo
kumaliza mbio zake mkoani Rukwa, katika hafla iliyofanyika jana, kijiji
cha Mkutano wilayani Mbozi.
Mwenge Kitaifa,Mtumwa Rashid Halfan, kutoka kaskazini Unguja, akivuta
pazia kuashiria uzinduzi wa Bweni la wanafunzi wa Kiume wa Sekondari ya
Mwalimu Jk.Nyerere iliyopo Tunduma wilayani Mbozi mkoani Mbeya.
Mwenge kitaifa wakisikiliza wimbo wa kupinga Rushwa uliokuwa ukiimbwa
na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Ihanda iliyopo Mozi wakati wa
uzinduzi wa klabu ya wapinga rushwa shuleni hapo.
wa Mkoa wa Mbeya wakishangilia baada ya mwenge wa uhuru kuwasili
katika kijiji cha mkutano ambacho kipo mpakani mwa mkoa wa Rukwa na
Mbeya.
wa Wilaya ya Mbozi Gabriel Kimolo (kulia), akimkabidhi mwenge wa Uhuru
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya mjini,Evance Balama, baada ya mwenge huo
kumaliza mbio zake wil;ayani Mbozi.Makabidhiano hayo yalifanyika Songwe
Viwandani mkoani Mbeya.Mwenge huo mkaoni Mbeya utafungua miradi yenye
thamani ya sh.bilioni 2.6 na Wilayani Mbozi umefungua miradi mitatu ya
sh.milioni 156.
(PICHA ZOTE NA DOTTO MWAIBALE)
No comments:
Post a Comment