Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, October 21, 2011

BAADHI YA MADEREVA NA ABIRIA MKOANI MBEYA NI SUGU KWANI HAWAJIFUNZI KUTOKANA NA MAKOSA, KWA AJALI ZINAZOTOKEA MKOANI HAPA.

Sakata la kubeba abiria katika magari ya kubebea mizigo bado ni tete mkoani Mbeya, licha ya kuwepo kwa ajali zinazotokea mara kwa mara na kuchinja idadi kubwa ya abiria.

Mtanado huu umeweza kushuhudia gari hili la mizigo aina ya Canter katika barabara ya Utengule Usangu wilayani Mbarali likiwa limebeba abiria kwa kushonana. Je?, Jeshi la polisi mkoani Mbeya mnaliona hili kwa makini ili kunurusu uhai wa wanajamii?.

No comments: