Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, August 31, 2011

Swala ya Iddi Zanzibar leo

Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohd Shein akiwahutubia viongozi na wananchi mbalimbali hawapo pichani katika ukumbi wa salama Holl Bwawani zanzibar baada ya kumalizika kwa mfungo wa Ramadhani.
Naibu mufti wa Zanzibar Sheikh Swaleh Omar Kaabi akimkaribisha Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kuhutubia katika Baraza la Idi ambalo lilifanyika katika ukumbi wa Salama Holl Bwawani mjini Zanzibar.
Umati katika Swala ya Iddi uwanja wa Maisara
Baadhi ya kinamama waliohudhuria katika swala ya Idi Elfitri huko katika kiwanja cha Maisara mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar Alhaji Dr,Ali Mohd Shein pamoja na viongozi mbalimbali wa vyama na serikali na wananchi,wakiwa katika swala ya iddi ambayo imeswaliwa kitaifa katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Alhaji Dr,Ali Mohd Shein pamoja na viongozi mbalimbali wa vyama na serikali na wananchi,wakiwa katika swala ya iddi ambayo imeswaliwa kitaifa katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar.

Rais wa zanziba Dr Ali Mohd Shein akisalimiana na Rais Mstaafu Mh. Amani Abeid Karume katika kiwanja cha Maisara mjini zanzibar kwa ajili ya kuswali swala ya Idi Elfitri.
Makamo wa kwanza wa Rais Seif Sharif Hamadi akisalimiana na Waziri wa katiba na Sheria wa Zanzibar Abubakari Khamis Bakari baada ya kuingia katika kiwanja cha maisara mjini zanzibar kwa ajili ya kuswali swala ya Idi Elfitri.
Rais mtaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume akisalimiana na Waziri wa katiba na sheria wa Zanzibar Abubakari khamis Bakari baada ya kuingia katika kiwanja cha maisara mjini zanzibar kwa ajili ya kuswali swala ya Idi Elfitri.
PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI MAELEZO ZANZIBAR

No comments: