 Wanafunzi wa shule ya Msingi Manda wilaya ya Ludewa  wakitoka kuokota kuni  za kuuza ili kupata fedha za mchango  wa mitihani
Wanafunzi wa shule ya Msingi Manda wilaya ya Ludewa  wakitoka kuokota kuni  za kuuza ili kupata fedha za mchango  wa mitihani Wanafunzi  wa kike katika  shule ya msingi Manda   wilaya ya Ludewa ambao  wanasubiri  kufanya mtihani  wa Taifa  wa  Darasa la saba wakitoka  kuokota  kuni  porini mida ya masomo  baada ya   kufukuzwa kwa kushindwa  kulipa mchango  wa shilingi 600 ili  wapate  kufanya mitihani ya kujipima ya kata mzigo  wa   kuni kama huu  wamekuwa  wakiuuza kwa kiasi cha  shilingi 100 kwa  walimu  wao
Wanafunzi  wa kike katika  shule ya msingi Manda   wilaya ya Ludewa ambao  wanasubiri  kufanya mtihani  wa Taifa  wa  Darasa la saba wakitoka  kuokota  kuni  porini mida ya masomo  baada ya   kufukuzwa kwa kushindwa  kulipa mchango  wa shilingi 600 ili  wapate  kufanya mitihani ya kujipima ya kata mzigo  wa   kuni kama huu  wamekuwa  wakiuuza kwa kiasi cha  shilingi 100 kwa  walimu  wao Afisa  elimu  wa  wilaya ya Ludewa Bw.Yella akiwahoji  wanafunzi  shule ya msingi Manda ambao  walikutwa  wakitoka  kuvua  samaki  wakati  wa masomo baada ya kufukuzwa na  walimu kwa kushindwa kulipa mchango wa shilingi 600 wa mtihani wa kata
Afisa  elimu  wa  wilaya ya Ludewa Bw.Yella akiwahoji  wanafunzi  shule ya msingi Manda ambao  walikutwa  wakitoka  kuvua  samaki  wakati  wa masomo baada ya kufukuzwa na  walimu kwa kushindwa kulipa mchango wa shilingi 600 wa mtihani wa kataNa Mwandishi Francis Godwin
 
2 comments:
haya ndo mambo ya kufuatilia na kuyafikisha ndani ya jengo la bunge. sasa wakati watoto wanageuzwa vijakazi na walimu wao, mbunge wa jimbo lao mh. filikunjombe yupo bize kulumbana na wabunge wa chadema huko mjengoni, tena nje ya mjengo. anasahau hata kilichompeleka pale. hii ni akili au matope??? poleni sana wanangu, ndo nchi yetu hiyo na miaka 50 ya uhuru.
haya ndo mambo ya kufuatilia na kuyafikisha ndani ya jengo la bunge. sasa wakati watoto wanageuzwa vijakazi na walimu wao, mbunge wa jimbo lao mh. filikunjombe yupo bize kulumbana na wabunge wa chadema huko mjengoni, tena nje ya mjengo. anasahau hata kilichompeleka pale. hii ni akili au matope??? poleni sana wanangu, ndo nchi yetu hiyo na miaka 50 ya uhuru.
Post a Comment