Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Thursday, July 7, 2011

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MABALOZI WA NYUMBA KUMI NA VIONGOZI WA MASHINA NA KATA ZA MKOA WA DAR ES SALAAM KUIKUMBUKA TANU


Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe wa nyumba kumi na viongozi wa mashina na matawi ya CCM katika wilaya zote za mkoa wa Dar es Salaam, mchana, ubungo Plaza ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya kuzaliwa TANU na madhimisho ya miaka 50 ya Uhuru.
Kikwete akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Pius Msekwa na Katibu Mkuu wa Wilson Mukama baada ya kuingia ukumbini
Viongozi wa nyumba kumi na viongozi wa mashina na matawi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam wakiwa kwenye mkutano huo
Wakimshangilia Kikwete
Katibu wa NEC ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihamasisha mkutano huo. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akizungumza akwenye mkutano huo
Mmwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete, Msekwa na Mukama wakimfurahia mmoja wa waasisi wa TANU kati ya watatu walio hai, Costantine Milinga (90) alipokuwa akieleza alivyoshiriki kuanzisha chama hicho.
Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru naye akapata fursa kueleza alivyojiunga na TANU

No comments: