Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Saturday, July 9, 2011

HATIMAE MBUNGE WA MBEYA MJINI MH. JOSEPH MBILINYI AACHIWA LAKINI BONANZA LAKE LAPIGWA STOP

Mh Joseph Mbilinyi akiwa nje ya kituo cha polisi mbeya mara baada ya kuachiwa huru
Mh Sugu akihojiwa na waandishi wa habari hapo kituoni mara baada ya kutolewa
Mh Sugu akiondoka kituo cha polisi mbeya
habari ya bonanza la sugu ambalo lilikua lifanyike leo kwenye viwanja vya Luanda nzovwe
limesimamisha kwa sababu halina kibali  habari zaidi juu ya bonanza hilo tutawaletea baadae

No comments: