Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, June 17, 2011

WASANII WA FILAMU WATEMBELEA BUNGENI DODOMA


Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dr. Cyril Chami (kushoto) akizungumza na baadhi ya waigizaji wa filamu nchini kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 17, 2011. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum, Vicky Kamata. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dr. Cyril Chami aikiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya waigizaji wa filamu nchini waliokwenda Bungeni Mjini Dodoma Juni 17, 2011. Kushoto kwake ni Mbunge wa Viti Maalum, Vicky Kamata. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Chanzo www.http.blogspot.com

No comments: