Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Monday, June 6, 2011

Rais JK Apokekewa Kwa Shangwe Mbinga




Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa wakati wa sherehe za kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Mhashamu John Ndimbo,Askofu moya wa jimbo katoliki la Mbinga,mkoani Ruvuma jana.Kulia ni Mama Anna Mkapa.

Wananchi wa Mbinga wakimsalimia kwa shauku Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kumalizika ibada ya Kumsimika na kuwekwa wakfu kwa Askofu Mpya wa jimbo Katoliki Mbinga,Mhashamu John Ndimbo zilizofanyika katika kanisa la Mtakatifu Kilian mjini wa Mbinga, mkoani Ruvuma jana.
picha na Freddy Maro-Ikulu.

No comments: