Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Saturday, March 26, 2011

MELI YA JESHI LA WANAMAJI KUTOKA CHINA YAWASILI NCHINI LEO


MKUU wa msafara wa jeshi la wanamaji kutoka nchini China Afande Zhang Huachen (mwenye sare nyeupe katikati) akipokewa na mwenyeji wake, Mkuu wa Jeshi la maji nchini Meja Jerenali Said Shaban Omar mara baada ya kuwasili katika Bandari ya Dar-Es-Salaam
MKUU wa msafara wa jeshi la wanamaji kutoka nchini China Zhang Huachen akisalimia na Maafisa wa Jeshi la wanamaji wa hapa nchini mara baada ya kuwasili katika Bandari ya Dar-Es-Salaam 

Raia wa nchini China waishio Tanzania wakiwa katika shamrashamra za kuipokea Meli za Kijeshi
Habari kwa Hisani ya Michuzi Blog
 

No comments: