Wakazi wa jiji la mbeya na vitongoji vyake na kutoka mikoa ya jirani Sumbawanga Iringa Songea wakiandamana kuuelekea ofisi ya mkuu wa mkoa Mbeya kupinga kusitishwa kwa huduma ya matibabu ya magonjwa mbalimbali anayotoa kijana JAFARI WILLINA
Hii ndiyo barua ya kusitisha huduma ya tiba ya asili kwa kijana JAFARI WILLINA Iliyoandikwa na mganga mkuu wa halmashauri ya jiji la mbeya Dk Samweli Lazaro
HABARI KAMILI TUTAWALETEA MUDA SI MREFU
No comments:
Post a Comment