Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Sunday, April 10, 2011

CHADEMA ZANZIBAR WACHOMA MOTO MSWADA WA KATIBA MPYA

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Hamad Mussa Yussuf , akichoma moto mswada wa sheria ya kuanzisha Tume ya kurekebisha Katiba Tanzania leo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Kibandamaiti mjini Zanzibar. 
Picha na Hamad Hija,MAELEZO Zanzibar

1 comment:

Anonymous said...

redio ni nzuri sana,je huwa kuna taarifa za habari,au vipindi vya magazetini??