Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Monday, April 11, 2011

Kamera ya Mbeya Yetu ikiwa katika mtinange wa Formula F1 Malaysia na mwandishi (Fredy Njeje)



Jana nilikua live katika mashindano ya Formula1 maarufu kama F1 yaliyo fanyika Malaysia Jana Nilikua pale Live Moja kwa moja nikichukua tukio zima na Hii ni Video hii pia wale madereva ama wataalam wa kuendesha magari hayo wote walikuwepo.

Majina ya Majina 10 ya walioshinda jana  katika shindano hilo
1 Sebastian Vettel
2  Jenson Button
3 9 Nick Heidfeld
4 Mark Webber
5  Felipe Massa Ferrari  
6  Fernando Alonso
7  Kamui Kobayashi
 8  Lewis Hamilton
 9  Michael Schumacher
10  Paul di Resta 
Baada ya Tukio mwandishi Fredy Njeje Alijivinjali Huko Mjini KUALA LUMPUR

No comments: