Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Sunday, April 10, 2011

YANGA YAMPORA UBINGWA SIMBA KWA TOFAUTI YA GOLI MOJA TU, YANGA BINGWA WA LIGI YA VODACOM TANZANIA BARA 2011

Kikosi cha Yanga kilichotwaa ubingwa wa ligi ya Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa msimu huu 2011, baada ya kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Toto African ya jijini Mwanza, mchezo ulichezwa kwnye Uwanja wa Kirumba, magoli hayo yakiwekwa kimiani na David Mwape aliyefunga 2 na Nurdin Bakar aliyefunga 1, huku Watani wao wa Jadi Simba wakiibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi yao na Majimaji ya Songea katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imetwaa ubingwa huo kwa tofauti ya kagoli kamoja tu!, na kumvua ubingwa mtani wake wa jadi Simba.

No comments: