Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, May 18, 2011

Matatizo haya yataisha lini maeneo ya Bamaga

Uchafu uliopita kiasi maeneo ya Bamaga

Hii sio bara bara za huko maeneo mengine ni Jijini Dar es Salaam maeneo ya bamaga ambapo ni Njia kuu kuelekea Bagamoyo na maeneo ya Posta

Mdau akitafuta japo kaupenyo kukwepa shuruba izo

Hapa magari yanakwama kila kukicha

1 comment:

Anonymous said...

Ebwanaeeeee..Libeneke inabidi Manispaa ya kinondoni iwajibike maana mitaro inaziba kila kukicha..Kwani na wenyewe mabosi c wanapita njia hiyo hiyo kuelekea kunako Mbezi beach kwa mabodhiiii?Lait ingetokea mitaa ya kwao..Mdau ungeona wafanyakazi wa manispaa wangekuja fasta.Au Kisa pale bamaga hakuna nyumba za kitaani kiivyo ka huko kwenu?C kuna chuo jamani?..