Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Monday, May 9, 2011

Breaking News: Anaejiita muwekezaji Msaki avamia na Kujenga eneo la wazi la kucheza watoto Mivumoni

Hili ndilo eneo kama linavyo onekana ambapo mtu huyo anae jiita muwekezaji amevamia na kujenga

Uzio ambao umewekwa na anae jiita muwekezaji Ndugu Msaki

Baadhi ya Majengo yake

Hapa ni uzio huo unao onekana kwa ukaribu ambapo watoto walikua wakicheza hapo na sasa imebaki kuwa Historia

Mafundi wakiendelea na ujenzi katika eneo hilo ambapo kimsingi ni eneo la watoto kucheza

Wakiwa wanaendelea Kuporomosha majengo eneo hilo ambalo si la ujenzi

Pichani si sehemu ya ramani, ya kitalu namba 4 aliyo na usajili na 38383, E' 353/107 toleo la tarehe 24/05/2004 inayoonyesha kuwa kiwanja no 30 ni eneo la wazi.
Eneo la mivumoni limekubwa na wawekezi katika maeneo ya wazi, Pichani ni kiwanja na 30 chilichopo kitalu namba 4,kikiwa kimezungushiwa uzio na mwekezaji aliyejulikana kwa jina moja la Msaki. Wakazi ya maeneo halo walifanya usafi wa eneo ili kuwawezesha watoto kucheza mpira wa miguu ndipo mwekezaji huyo alipojitokeza akajenga uzio. Kwa mujibu wa meelezo yake yeye ni mmiliki halali wa eneo hilo.


2 comments:

Anonymous said...

watanzania tuweni na fikra endelevu haya mambo ya kuvamia Maeneo ya wazi ni ubumbuwazi miaka 20 ijayo kwa akili yako watoto zetu watacheza wapi?Mh.Tibaijuka huyu msaki sidhani kama ni kikwazo kwa wewe kufanya maamuzi ya busara kama yale ya pale Blue palms na Ocean road...............bloger link na kwa mabloger wenzako hizi issue kwa mfano Issa Michauzi, Michuzi Junior , Lady Jaydee na wengine ili mambo kama haya yasitishwe - Mdau CMN.

Anonymous said...

huyu jamaa sijui kapata wapi nguvu yaani hata mjumbe wa nyumba kumi alizarau na isitoshe akatumia silaa kutishia wananchi. Tunaamini uongozi wa ardhi watachukua uamuzi haraka maana kila nikipita roho inauma