Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Sunday, April 10, 2011

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Aongea


Video na Jiachie Blog

Wakati huo huo NEC Watangaza Uongozi mpya soma hapa chini

NEC,IMETANGAZA MAJINA YA VIONGOZI WAPYA NAFASI HIZO NI ILE YA KATIBU MKUU WA CHAMA AMBAYO IMECHUKULIWA NA BW. WILSON MUKAMA,WAKATI NAFASI YA NAIBU KATIBU MKUU BARA IKICHUKULIWA NA BW. ABDULRAHMAN KINANA,NAFASI YA KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI IMECHUKULIWA NA BW. NAPE NNAUYE WAKATI NAFASI YA KATIBU WA UCHUNI NA FEDHA IKICHUKULIWA NA BI. ZAKHIA MENGJI HUKU NAFASI YA KATIBU WA OGANAIZEHENI IKIENDA KWA BI. REHEMA NCHIMBI.
Na Ahmad Issa Michuzi

No comments: