Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Saturday, September 17, 2011

Kampeni Za Chadema igunga Zinaendelea.......

Katibu wa Mkuu wa CHADEMA, Dr Slaa, akihutubia katika mkutano wa kampebni uchaguzi mdogo jimbo la Igunga kijijini Isakamaliwa jana mchana.
Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki, Sylvester Kasulumbai akihutubia wananchi wa kijiji cha Nanga leo katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo unaendelea jimboni hapa.
Mbunge wa viti maalumu (CHADEMA) Suzani KiwaNGA akihutubia katika mkutano wa kampeni za uchaguzi kijijini Nanga mapema jana. Picha zote na Victor Makinda


No comments: