Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Friday, September 16, 2011

BREAKING NEWSSS SOKO LA MWANJELWA KIWANJA CHA SIDO LAWAKA MOTO

Soko la mwanjelwa eneo la sido mbeya lawaka moto chanzo mapaka sasa hakijajulikana
Moto mkubwa ukiendelea kuwaka
Baadhi ya  mabanda sokono hapo tayari yameteketea kabisa na moto
Kama kawaida kikosi cha zimamoto mbeya kimeendelea na maigizo yake ya kuja kwenye tukio na gari bovu hapa wanaonekana askari wa kikosi hicho wakibishana huku moto ukiendelea 
Kufa kufaana kibaka tayari ameshaiba huyooo anatimka
Dada nae hayuko nyuma katika wizi keshachukua kapeti
Umati wa watu ukiwa unaangalia soko linavyoteketea
Mama huyu akilia kwa uchungu akiangalia duka lake likiteketea kwa moto

Hii ni hatari

2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Mungu awape nguvu wote waliopatwa NA JANGA HILI...

Kelkaf said...

Sasa chanzo cha moto huo ni nini?