Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimpongeza Januari Yussuf Makamba kwa kuteuliwa kuwa Mjumbe wa kamati ya Sekretarieti ya CCM Taifa kwenye mkutano uliomalizika jana jioni katika ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma. Picha na Amour Nasor
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment