Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Wednesday, March 16, 2011

Waziri ,Mark Mwandosya:Wiki ya Maji na Siku ya Maji Duniani


Waziri wa Maji,Profesa,Mark Mwandosya (kushoto),akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Injinia Christopher Sayi, kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari leo, makao makuu ya Wizara ya Maji, Ubungo, Dar es Salaam,kutangaza kuanza kwa maadhimisho ya wiki ya maji na siku ya maji Duniani, yanayoanza kesho. Kwa mujibu wa Profesa Mwanadosya Maadhimisho hayo Kitaifa yanafanyika mkoani Mwanza.Katikati ni, Mwenyekiti wa Maalizi ya Maadhimisho hayo, Lista Kongola.

No comments: