Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Tuesday, March 15, 2011

Tafakari yetu ya Leo!!

Umeingia kwa Mama muuza na Njaa zako ukaitisha chakula kibao..kwa kuzani utakata Njaa yako

Unafika sehemu unaacha kwa kudai eti kilikua kingi sana...wakati unaagizia haukulijua hilo?...na Mama muuza ataenda waga Hicho chakula...swali Je hii ni sawa??

No comments: