Social Icons

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

bre

Thursday, April 14, 2011

MWENDO KASI UNAUA na Mbeya yetu songea

Ajali hii imetokea kilometa chache kuingia songea mjini kati ya basi  Super feo na gari dogo Mark II  huu ni uzembe wa madereva wetu kutokua makini wawapo barabarani
Hili ni basi la super feo hakuna abilia aliyejeruhiwa wachache walipata mstuko tu
Dereva wa MarkII aliumia na kukimbizwa hospitali ya mkoa songea
Wana usalama pamoja na raia wakilisukuma gari iliyopata ajali

No comments: