Sunday, March 20, 2011
Mtaa kwa mtaa jijini mbeya
Mtoto Anangisye akielekea katikati ya jiji la mbeya kuokota mkaa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani mtoto huyo alinieleza anaishi nonde na bibi yake ambae hana uwezo wowote hivyo inamlazimu yeye kwenda kuokota mkaa na kuomba kwa wasamaria wema anachokipata anakula na bibi yake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment